3 ـ باب: النهي عن افتراش الحرير

Hadith No.: 2940

2940 - (ق) عَنْ حُذَيْفَةَ قَالَ: سَمِعْتُ النَّبِيَّ صلّى الله عليه وسلّم يَقُولُ: (لاَ تَلْبَسُوا الحَرِيرَ، وَلاَ الدِّيباجَ، وَلاَ تَشْرَبُوا في آنِيَةِ الذهَبِ وَالْفِضَّةِ، وَلاَ تَأْكُلُوا في صِحَافِهَا، فَإِنَّهَا لَهُمْ في الدُّنْيَا، وَلَنَا في الآخِرَةِ) .

Kutoka kwa Hudhaifa bin Yamani -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Hadithi Marfu'u: "Msivae hariri nyepesi wala nguo zilizofumwa kwa hariri, na wala msinywe katika vyombo vya dhahabu wala fedha, na wala msile katika sahani zake, kwani hivyo ni vyao duniani na ni vyenu Akhera".

[خ5426/ م2067]