3221 - (م) عَنْ أَبِـي بَكْرَةَ، عَنِ النَّبِـيِّ صلّى الله عليه وسلّم قَالَ: (إِذَا الْمُسْلِمَانِ، حَمَلَ أَحَدُهُمَا عَلَى أَخِيهِ السِّلاحَ، فَهُمَا عَلَى جُرُفِ جَهَنَّمَ، فَإِذَا قَتَلَ أَحَدُهُمَا صَاحِبَهُ، دَخَلاَهَا جَمِيعاً) .
Kutoka kwa Abii Bakra Nufa'i bin Harith Ath thaqafiy- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Yakwamba Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake Amesema: "Watakapo kutana waislamu wawili kwa mapanga yao basi muuwaji na muuliwaji wote motoni" Nikasema ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, huyu muuwaji sawa, na vipi huyu muuliwaji? Akasema: "Hata yeye alikuwa na pupa ya kumuuwa mwenzie".
[م2888]