قال تعالى: {وَقُلْ رَبِّ زِدْنِي عِلْمًا}. [طه:114]
Kutoka kwa Muawiya bin Abii Sufiyani- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake Amesema: Amesema Mtume Rehema na Amani zimfikie: "Mwenye kumtakia Mwenyezi Mungu kheri kwake humpa ufahamu katika dini".
- معالم السنة ›
- المقصِدُ الثّاني: العِلْمُ وَمَصَادِرُهُ
- › العلم
- › 1 ـ باب: الفقه في الدين