1 ـ باب: فضل الصلاة وحكم تاركها

Hadith No.: 1142

1142 - (م) وَعَنْهُ: أَنَّ رَسُولَ الله صلّى الله عليه وسلّم قَالَ: (أَلاَ أَدُلُّكُمْ عَلَى مَا يَمْحُو الله بِهِ الخَطَايَا، وَيَرْفَعُ بِهِ الدَّرَجَاتِ) ؟ قَالُوا: بَلَى يَا رَسُولَ الله، قَالَ: (إِسْبَاغُ الوُضُوءِ عَلَى المَكَارِهِ [1] ، وَكَثْرَةُ الخُطَا إِلَى الَمَسَاجِدِ، وَانْتِظَارُ الصَّلاَةِ بَعْدَ الصَّلاَةِ؛ فَذلِكُمُ الرِّبَاطُ [2] ) .

Kutoka kwa Abi Huraira Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: amesema Mtume Muhammad Rehma na Amani za Allah ziwe juu yake: ((Je! nikujulisheni mambo ambayo yakifanyika Allah hufuta madhambi na hupandisha daraja kwa mambo hayo?)) wakasema: ndiyo, Ewe Mtume wa Allah, akasema: ((Kutawadha vizuri wakati wa baridi, na kuzidisha hatua kwenda msikitini, na kusubiria swala baada ya swala huko ndiko kuizuia nafsi katika mambo ya kheri)).

قال تعالى: {إِنَّ الصَّلاَةَ تَنْهَى عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنْكَرِ *}. [العنكبوت:45] وقال تعالى: {وَأَقِمِ الصَّلاَةَ طَرَفَيِ النَّهَارِ وَزُلَفًا مِنَ اللَّيْلِ إِنَّ الْحَسَنَاتِ يُذْهِبْنَ السَّيِّئَاتِ *}. [هود:114]

[م251]