1010 - (ق) عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ: أَنَّ رَسُولَ الله صلّى الله عليه وسلّم قَالَ: (لَوْ يَعْلَمُ النَّاسُ مَا فِي النِّدَاءِ [1] وَالصَّفِّ الأَوَّلِ، ثُمَّ لَمْ يَجِدُوا إِلاَّ أَنْ يَسْتَهِمُوا عَلَيْهِ [2] لاَسْتَهَمُوا، وَلَوْ يَعْلَمُونَ مَا فِي التَّهْجِيرِ [3] لاَسْتَبَقُوا إِلَيْهِ، وَلَـوْ يَعْلَمُونَ مَا فِي العَتَمَةِ [4] وَالصُّبْحِ، لأَتَوْهُمَا وَلَوْ حَبْواً ).
Kutoka kwa Abuu Huraira radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Kutoka kwa Mtume rehema na Amani zimfikie Amesema: "Swala nzito juu ya wanafiki: ni swala ya ishaa na swala ya Alfajiri, na lau wangejua yaliyomo ndani ya swala hizo, basi wangeziendea hata kwa kutambaa, na nilitamani niamrishe swala ikimiwe, kisha nimuamrishe mtu awaswalishe watu, kisha niondoke wakiwa pamoja nami wanaume wakiwa na vijinga vya moto twende kwa watu ambao hawahudhurii swala nikazichome nyumba zao kwa moto".
قـال تـعـالـى: {وَإِذَا نَادَيْتُمْ إِلَى الصَّلاَةِ اتَّخَذُوهَا هُزُوًا}. [المائدة:58]
[خ615/ م437]