5 ـ باب: من مات على التوحيد دخل الجنة

Hadith No.: 15

15 - (ق) عن أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ: أَنَّ النَّبِيَّ صلّى الله عليه وسلّم ـ وَمُعاذٌ رَدِيفُهُ عَلَى الرَّحْلِ ـ قَالَ: (يَا مُعَاذُ بْنَ جَبَلٍ) ! قَالَ: لَبَّيْكَ يَا رَسُولَ اللهِ وَسَعْدَيْكَ [1] ! قَالَ: (يَا مُعَاذُ) ! قَالَ: لَبَّيْكَ يَا رَسُولَ اللهِ وَسَعْدَيْكَ! ثَلاَثاً، قَالَ: (مَا مِنْ أَحَدٍ يَشْهَدُ أَنْ لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللهُ وَأَنَّ مُحَمَّداً رَسُولُ اللهِ، صِدْقاً مِنْ قَلْبِهِ؛ إِلاَّ حَرَّمَهُ اللهُ عَلَى النَّارِ) . قَالَ: يَا رَسُولَ اللهِ! أَفَلاَ أُخْبِرُ بِهِ النَّاسَ فَيَسْتَبْشِرُوا؟ قَالَ: (إِذاً يَتَّكِلُوا) . وَأَخْبَرَ بِهَا مُعَاذٌ عِنْدَ مَوْتِهِ تَأَثُّماً [2] .

Kutoka kwa Anas -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake-: Yakwamba Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- na Mua'dh akiwa nyuma yake juu ya kipandwa, Alisema: "Ewe Mua'dh" Akasema: Labaika Wasa'daika- Nimekuitikia kwa furaha yako- Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, Alisema: "Ewe Mua'dh" Akasema: Labaika Wasa'daika- Nimekuitikia kwa furaha yako- Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, Alisema: "Ewe Mua'dh" Akasema: Labaika Wasa'daika- Nimekuitikia kwa furaha yako- Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, Alisema hivyo mara tatu, Akasema: "Hakuna mja yeyote atakayeshuhudia kuwa Hapana Mola ispokuwa Mwenyezi Mungu, nakuwa Muhammadi ni mja wake na ni Mtume wake kiukweli toka moyoni mwake ispokuwa atamharamisha Mwenyezi Mungu kuingia motoni" Akasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu hivi nisiwaeleze watu hili ili wajipe bishara (matumaini)? Akasema: "Basi watabweteka" Akalizungumza hilo Mua'dh wakati wa kifo chake kwa kuhofia kupata dhambi.

قال تعالى: {يَاأَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ حَقَّ تُقَاتِهِ وَلاَ تَمُوتُنَّ إِلاَّ وَأَنْتُمْ مُسْلِمُونَ *}. [آل عمران:102]

[خ128، م32]