9 ـ باب: حكم المذي

Hadith No.: 882

882 - (ق) عن عليٍّ قال: كُنْتُ رَجُلاً مَذَّاءً [1] ، فَاسْتَحْيَيْتُ أَنْ أَسْأَلَ رَسُولَ اللهِ صلّى الله عليه وسلّم، فَأَمَرْتُ الْمِقْدَادَ بْنَ الأَسْوَدِ فَسَأَلَهُ، فَقَالَ : (فِيهِ الْوُضُوءُ) .

Kutoka kwa Ally bin Abii Twalib -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: (Nilikuwa ni mtu mwenye madhii mengi, nikaona haya kumuuliza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- kwasababu ya nafasi ya binti yake kwangu, nikamtuma Mikidadi bin Aswadi akamuuliza, akasema: Ataosha tupu yake, na atatawadha) Na kwa Bukhariy: (Osha tupu yako na utawadhe). Na kwa Muslim: (Tawadha na usafishe tupu yako).

[خ178، (132)/ م303]