197 - (ق) عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ: أَنَّ رَسُولَ اللهِ صلّى الله عليه وسلّم قَالَ: (حُجِبَتِ النَّارُ بِالشَّهَوَاتِ، وَحُجِبَتِ الجَنَّةُ بِالمكارِهِ) ..
Kutoka kwa Abuu Huraira Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake yakwamba Mtume rehema na Amani zimfikie Amesema: "Umezingirwa moto kwa mambo yenye kutamanisha, na imezingirwa pepo kwa yenye kuchukiza" Hadithi Muttafaqun alaihi na tamko ni la Bukhari. Na katika riwaya yao nyingine: "Imezungukwa".
قال تعالى: {وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ *وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ *}. [الشعراء: 90، 91]
[خ6487، م2823]